Sunday, August 28, 2022

WAZIRI MKUU AHUDHURIA MKUTANO WA TICAD, TUNIS TUNISI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akifuatilia Mkutano wa Nane wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa kuhusu Maendeleo ya Japan na Afrika (TICAD 8) unaoendelea katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Palais des Congres mjini Tunis,Tunisia, Agosti 27, 2022. Waziri Mkuu anamwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akisalimiana na Rais wa Tunisia Kais Saied alipowasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Palais des Congres kuhudhuria Mkutano wa Nane wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa kuhusu Maendeleo ya Japan na Afrika (TICAD 8), mjini Tunis,Tunisia, Agosti 27, 2022. Waziri Mkuu anamwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Tunisia, Mhe. Kais Saied alipowasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Palais des Congres kuhudhuria Mkutano wa Nane wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa kuhusu Maendeleo ya Japan na Afrika (TICAD 8), mjini Tunis,Tunisia, Agosti 27, 2022. Waziri Mkuu anamwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo.

NA OWM, TUNIS

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemshukuru Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida kwa misaada ambayo nchi yake inaipatia Tanzania ili kuleta unafuu kwenye maisha ya wananchi wake.

PATA VICHWA VYA HABARI KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATATU AGOSTI 29, 2022



















Saturday, August 27, 2022

Absa Bank Kenya Half-Year Profit Jumps To Ksh.6.3 Billion

 

By Kepha Muiruri

Absa Bank Kenya Plc has posted a 12.5 per cent rise in its half-year profit to Ksh.6.3 billion from Ksh.5.6 billion previously.

Rwanda Becomes KCB’s Most Profitable Regional Market




Absa Gets Risk Based Loan Pricing Greenlight

 


By Kepha Muiruri

Absa Bank Kenya has received the approval of the Central Bank of Kenya (CBK) to roll out risk based pricing on loans.

KCB, Equity Draw New Battle Lines In The DRC

 



By Kepha Muiruri

KCB is keen on toppling Equity Group as Kenya and the region’s largest lender by asset base as its acquisition spree continues.

Why Banks Won’t Raise Interest Rates Just Y