Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Mbila Mdemu leo akizungumza na Wahasibu na Wakaguzi wa Ndani waliokuwa wakishiriki mafunzo ya uandaaji na
uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual), wakati akiyafunga kwenye Jengo la Pili la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha
Julius Nyerere (JNIA-TB3).
uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual), wakati akiyafunga kwenye Jengo la Pili la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha
Julius Nyerere (JNIA-TB3).
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Biashara wa Malaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), CPA Josephine Kolola (mbele) akitoa neno la shukrani mara baada ya kufungwa kwa mafunzo ya uandaaji na uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual), yaliyokuwa yakifanyika kwenye Jengo la Pili la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA_TB2).
Mkufunzi CPA Angelile Tende kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania (NBAA), akiwafundisha Wahasibu na Wakaguzi wa Ndani wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakimsikiliza Mkufunzi CPA Mohamed Nusura (hayupo pichani) mafunzo yaliyomalizika leo ya uandaaji na uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual), kwenye Jengo la Pili la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius
Nyerere (JNIA_TB2).
Nyerere (JNIA_TB2).

Wahasibu na Wakaguzi wa Ndani wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakimsikiliza Mkufunzi CPA Angelile Tende (hayupo pichani) katika mafunzo ya uandaaji na uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu
za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual). Mafunzo hayo yamemalizika leo kwenye Jengo la Pili la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere
(JNIA_TB2).
za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual). Mafunzo hayo yamemalizika leo kwenye Jengo la Pili la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere
(JNIA_TB2).
*****************************
Na Bahati Mollel, TAA
WAHASIBU na Wakaguzi wa Ndani wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wametakiwa kutumia vyema mafunzo ya uandaaji na uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu za












By Mercy Mwende
Kenya Airways planes at the JKIA in Nairobi. FILE PHOTO | NMG
\
A furious President Uhuru Kenyatta (pictured)
yesterday disbanded an inter-ministerial committee over its repeated
failures to adequately protect the country from the Corona virus.
The high cost of tomatoes contributed to a spike in the cost of living
in February with overall prices of goods and services in the economy
increasing by 6.37 per cent.
This was a nine-month with the
Human rights activist Okiya Omtatah has moved to court seeking to stop
Kenya Airways from sending pilot trainees outside the country.
Omtatah wants the airline stopped from sending candidates to South
Africa as per its advert that closed on December 11,2019, inviting
applicants under its Ab
Moses Omusolo
Kenya Airways has gone back to the government for a bailout. The
airline said it has secured a Sh5 billion commercial loan from the
National Treasury to service some of its aircraft engines and streamline
operations.
The Regional Centre for Mapping of Resource For Development along Kasarani Road. [Jenipher Wachie, Standard]