Ndege aina ya Airbus
A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza
katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa
kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Bilinithi Mahenge,akizungumza mara baada ya kuipokea
Ndege aina ya Airbus
A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132,ambayo imetuwa kwa mara ya
kwanza katika Uwanja wa ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa
kupanuliwa kwa njia ya kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Mkurugenzi Mkuu wa
Wakala wa Barabara nchini(TANROAD), Mhandisi Patrick Mfugale,akitoa
taarifa mara baada ya kuipokea Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye
uwezo wa kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa
ndege wa Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa kupanuliwa kwa njia ya
kutua na kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Katibu Mkuu wa Wizara
ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dk.Leonard Chamuriho,akizungumza
mara baada ya kuipokea Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa
kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa
Dodoma baada kufanyiwa marekebisho kwa kupanuliwa kwa njia ya kutua na
kufikia urefu wa kilometa 2.8.
Abiria wakishukwa kwa
mara ya kwanza wakiwa na Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa
kubeba abiria 132,baada ya kutua katika Uwanja wa ndege wa Dodoma.
Baadhi ya wakazi wa
Dodoma wakishuhudia Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa
kubeba abiria 132, ikituwa kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa ndege wa
Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa
Dodoma Dkt.Bilinithi Mahenge akiwa katika picha mbalimbali mara baada ya
kuipokea Ndege aina ya Airbus A220-300 yenye uwezo wa kubeba abiria 132
baada ya kutua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Dodoma
………………………………………………………………………………
Na.Alex Sonna,Dodoma
Mambo yamezidi kunoga
huku shwange na mafuriko ya wakazi wa Dodoma baada ya kuiona