Sunday, July 22, 2018

BONANZA LA KUWAKARIBISHA WATUMISHI WA UMMA WALIOHAMIA DODOMA LAFANA

  Kikundi cha Jogging kutoka Dodoma kikishiriki katika Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limefanyika katika Uwanja wa Jamhuri.

  Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka (mwenye fulana ya blue mbele)akishiriki mazoezi ya mbio za polepole(jogging) na viongozi wengine wa Serikali wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma. Bonanza hilo limeandaliwa na Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa  na Michezo na limefanyika katika uwanja wa jamhuri Jijini Dodoma.

  Viongozi mbalimbali wa Serikali wakishiriki katika mazoezi ya viungo kabla ya kuanza kwa mbio za polepole(jogging) wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limefanyika katika Uwanja wa Jamhuri.

  Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka,Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Suzan Mlawi na Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Bi Sihaba Nkinga  wakishiriki katika Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limefanyika katika Uwanja wa Jamhuri.

  Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka na Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Suzan Mlawi wakikagua timu ya mpila wa pete kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limefanyika katika Uwanja wa Jamhuri.

  Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka,Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Suzan Mlawi wakikagua timu ya mpila wa pete kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limefanyika katika Uwanja wa Jamhuri.

  Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka akizungumza na timu za mpila wa pete kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limeandaliwa na Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo na limefanyika katika uwanja wa jamhuri Jijini Dodoma.

Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka (mwenye fulana ya blue katikati) akishiriki mazoezi ya mbio za polepole(jogging) na viongozi wengine wa Serikali wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma. Bonanza hilo limeandaliwa na Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa  na Michezo na limefanyika katika uwanja wa jamhuri Jijini Dodoma.




  Timu ya Viongozi mbalimbali kutoka Serikalini wakiongozwa na Kaimu katibu Mkuu Kiongozi   Dkt.Florens Turuka wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Bonanza maalum la kuwakaribisha watumishi wa umma waliohamia Jijini Dodoma.Bonanza hilo limefanyika katika Uwanja wa Jamhuri.(PICHA:DAUDI MANONGI, MAELEZO)

No comments :

Post a Comment