Saturday, April 29, 2017

WAZIRI JENISTA MHAGAMA AYAAGIZA MAKAMPUNI YA UCHIMBAJI MADINI KUTOA ELIMU YA USALAMA KWA WACHIMBAJI WADOGO ATEMBELEA MABANDA YA ACACIA



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama ameiagiza migodi mikubwa nchini Tanzania kuanzisha programu maalum kwa ajili ya kutoa elimu ya afya na usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kuepuka ajali zinazotokea kwenye maeneo ya migodi.

No comments :

Post a Comment