Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu
Tanzania (KBF), Joyce Fissoo akionyesha Leseni inayotolewa na bodi hiyo
kwa ajili ya waendeshaji wa vibanda vya kuonyeshea filamu wakati wa
kikao kazi cha wadau wa tasnia ya Filamu na Maafisa Utamaduni wa Mkoa wa
Arusha kilichofanyika jana Jijini Arusha. Kutoka kushoto ni Afisa
Utamaduni wa Mkoa wa Arusha Bi. Irene Ngao na Afisa Utamaduni wa
Halmashauri ya Wilaya ya Arusha Gasper Tesha.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu
Tanzania (KBF), Joyce Fissoo akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha
wadau wa tasnia ya Filamu na Maafisa Utamaduni wa Mkoa wa Arusha
kilichofanyika jana Jijini Arusha.
Afisa Utamaduni wa Mkoa wa Arusha
akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi cha wadau wa tasnia ya Filamu na
Maafisa Utamaduni wa Mkoa wa Arusha kilichofanyika jana Jijini Arusha.
Katikati ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (KBF), Joyce
Fissoo na kulia ni Afisa Utamduni wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.
Katibu wa Umoja wa Wasanii wa
Filamu na Michezo ya Kuigiza Mkoa wa Arusha (TDFA), Said Mohamed Gogola
akichangia mada wakati wa kikao kazi cha wadau wa tasnia ya Filamu na
Maafisa Utamaduni wa Mkoa wa Arusha kilichofanyika jana Jijini Arusha.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu
Tanzania (KBF), Joyce Fissoo (kulia) akiagana na Kaimu Katibu Tawala wa
Mkoa wa Arusha, Hargeney Chitukuro mara baada ya kumaliza kikao kazi cha
wadau wa tasnia ya Filamu na Maafisa Utamaduni wa Mkoa wa Arusha
kilichofanyika jana Jijini Arusha.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu
Tanzania (KBF), Joyce Fissoo (waliokaa kwenye viti katikati) akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha wadau wa
tasnia ya Filamu na Maafisa Utamaduni wa Mkoa wa Arusha kilichofanyika
jana Jijini Arusha.
Na: Mpiga Picha Wetu
……………..
Rai hiyo imetolea na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu
Tanzania (KBF) Joyce Fissoo alipokuwa akiwasilisha mada katika kikao
kazi cha maafisa Utamaduni na wadau wa tasnia ya filamu wa mkoa wa
Arusha iliyofanyika jana Jijini Arusha.
Mama Fissoo alisema kuwa nidhamu imekuwa kikwazo kikubwa kwa
wasanii jambo linalowafanya wasiaminike miongoni mwa jamii ikiwa ni pamoja na taasisi za kifedha ambazo zingeweza kuwawezesha.
Naye Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa
wa Arusha Hargeney Chitukuro ameishukuru Bodi ya Filamu kwa kuupa mkoa
wao fursa ya kukutanisha wadau wa tasnia hiyo na kuongeza kuwa wao kama
Serikali ya Mkoa wako tayari kutoa ushirikiano ili kuhakikisha vijana wa
mkoa wa Arusha wanapata ajira ya uhakika kupitia filamu.
No comments :
Post a Comment