Thursday, May 4, 2017

NAIBU SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA UGENI KUTOKA JHPIEGO

A
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa JHPIEGO nchini Tanzania Ndg.Jeremie Zoungana, aliyekuja kuzungumza nae na kubadilishana uzoefu wa
kazi, kabla ya kuanza kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma
A 1
Naibu Spika  wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza na ugeni uliomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma,ukiongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa JHPIEGO nchini Tanzania Ndg. Jeremie Zoungana (wa pili kulia).
A 2
Naibu Spika  wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Mradi wa USAID wa Boresha Afya, Ndg. Dustan Bishanga (wa pili kushoto) akizungumza leo katika kikao kilichofanyika
Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments :

Post a Comment