Tuesday, July 5, 2022

RAIS WA ZANZIBAR DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMEKUTANA NA TONY BLAIR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa mazungumzo akiwa na ujumbe wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa mazungumzo akiwa na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo leo wakati alipokuwa na mazungumzo na   Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair alipofika Ikulu Jijini Zanzibar  kwa mazungumzo akiwa na ujumbe wake.[Picha na Ikulu] 05/07/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kuliai) akiaagana na mgeni wake   Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair baada ya mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar  akiwa na ujumbe wake

No comments :

Post a Comment