Tuesday, July 5, 2022

MAKAMU WA RAIS ATOA MSAADA WA VIFAA VYA OKSIJENI MUHIMBILI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akikabidhi msaada wa vifaa maalum vya kupima mapigo ya moyo na Oksijeni vinavyofahamika kama Hand Held Pulse Oximeter kwa Mkurugenzi  wa Huduma za Uuguzi wa Hospitali ya Muhimbili Sr. Zuhura Mawona kwaajili ya Wodi ya Watoto Njiti leo tarehe 5 Julai 2022.



No comments :

Post a Comment