Saturday, May 2, 2020

Picha : MWILI WA BALOZI DKT. AUGUSTINE MAHIGA UKIWASILI NYUMBANI KWAKE



Mwili wa aliyekuwa waziri wa katiba na sheria Balozi Dkt. Augustine Mahiga, ukishushwa nyumbani kwake Gangilonga mjini Iringa kwaajili ya taratibu za kuuaga kabla ya kuelekea eneo alipozaliwa Tosamaganga nje kidogo ya mji wa Iringa kwa ibada ya  mazishi.


No comments :

Post a Comment