Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu
ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi akizungumza na majaji wapya wa
Mahakama Kuu ya Tanzania, walioapishwa leo ofisini kwake jijini Dar es
Salaam.
Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa
Mahakama (IJA)-Lushoto (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa majaji
wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania walioapishwa leo.
(Picha na Magreth Kinabo-Mahakama)
No comments :
Post a Comment