Mshauri wa Jukwaa la Matumizi ya
Bioteknolojia katika kilimo (OFAB), Dk.Nicholaus Nyange (kulia),
akimkabidhi mbegu ya mahindi ya Wema 2109, Ofisa Kilimo wa Wilaya ya
Bukombe, Joseph Bachibya kwa ajili ya kupanda katika shamba darasa
katika Kijiji cha Msasa kilichopo Kata ya Runzewe wilayani humo leo.
Wengine kutoka kulia ni Mtafiti wa Mazao ya Mizizi kutoka Kituo cha
Utafiti wa Kilimo cha Maruku mkoani Kagera, Jojianas Kibula na Mtafiti,
Dk. Beatrice Lyimo kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)
Maofisa Ugani wakiandaa shamba darasa la
mahindi ya Wema katika Kijiji cha Kabagole kilichopo Kata ya Busonzo
litakalosimamiwa na Kikundi cha Igembensabho.
Ofisa Kilimo wa Wilaya ya Bukombe, Joseph Bachibya, akizungumza na wakulima wa Kikundi cha Igembensabho.
Wanakikundi cha Igembensabho wakiwa wameshosha mikono ikiwa ni ishara ya mshikamano.
Mshauri wa Jukwaa la
Matumizi ya Bioteknolojia katika kilimo (OFAB), Dk.Nicholaus Nyange
(kulia), akimkabidhi mbegu ya mhogo aina ya Mkombozi, Ofisa Kilimo wa
Wilaya ya Bukombe, Joseph Bachibya kwa ajili ya kupanda katika shamba
darasa katika Kijiji cha Msasa kilichopo Kata ya Runzewe wilayani humo
leo. Wengine kutoka kulia ni Mtafiti wa Mazao ya Mizizi kutoka Kituo cha
Utafiti wa Kilimo cha Maruku mkoani Kagera, Jojianas Kibula na Mtafiti,
Dk. Beatrice Lyimo kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)Ofisa Kilimo wa Wilaya ya Bukombe, Joseph Bachibya akikmabishi mbegu ya Wema Ofisa Ugani wa Kijiji cha Kabagole, Ponsian Pancras.
Mtafiti wa Kilimo kutoka Kituo cha
Utafiti wa Ilonga mkoani Morogoro, Ismail Ngolinda, akiwafundisha
wakulima wa Kijiji cha Kabagole namna ya kupanda mahindi ya Wema. Kulia
ni Ofisa Ugani, David Makabila kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Katibu wa Kikundi cha Igembensabho, Jacob Nsunzu akizungumza na waandishi wa habari.
Ofisa Kilimo wa
Wilaya ya Bukombe, Joseph Bachibya akikmabishi mbegu ya Wema Ofisa Ugani
wa Kijiji cha Msasa, Mohamed Mwangeni. Katikati ni Mshauri wa Jukwaa la Matumizi ya Bioteknolojia katika kilimo (OFAB), Dk.Nicholaus Nyange.Mtafiti wa Kilimo kutoka Kituo cha Utafiti Ilonga mkoani Morogoro, Ismail Ngolinda, akiwafundisha wakulima wa Kijiji cha Msasa, namna ya kupanda mahindi ya Wema.
Na Dotto Mwaibale, Bukombe Geita
No comments :
Post a Comment