Monday, May 1, 2017

MAKAMU WA RAIS AUNGANA NA RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU MAJALIWA KWENYE KILELE CHA SHEREHE ZA MEI MOSI MJINI MOSHI JUMATATU





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Said Mecky Sadick na viongozi wengine wa mkoa huo, mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA, Aprili 30, 2017. Makamu wa Rais anaungana na Rais John Pombe Magugfuli na Waziri Mkuu Majaliwa kwenye kilele cha sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi, zitakazofanyika kitaifa mjini Moshi, Jumatatu. (PICHA NA VPO)
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na viongozi mbalimbali waliofika awanjani hapo kumlaki. Anatarajiwa kuhudhuria sherehe za wafanya kazi, Mei Mosi zitakazofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro Jumatatu.

No comments :

Post a Comment