Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim
Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa ofisi ya
Waziri Mkuu wakati alipotoa maagizo ya Rais Dk. John Pombe Magufuli
kuhusu mawaziri ambao bado hawajajaza fomu za Tamko
la Rasilimali na Madeni wawe wamejaza fomu hizo na kuzirejesha katika
Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Dar es Salaam
ifikapo leo saa 12.00 jioni (Ijumaa, Februari 26, 2016).(PICHA NA JOHN
BUKUKU- WA FULLSHANGWEDAR ES SALAAM)
Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim
Majaliwa akiendelea kufafanua mambo kadhaa kwa wanahabari katika mkutano
huo kushoto ni WAZIRI wa nchi,ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa
Umma na Utawala bora, Mh Angella Kairuki
KAMPUNI YA MAWASILIANO YA TIGO YATOA MSAADA WA FEDHA ,KIASI CHA SHILINGI MIL TANO NA VIFAA VYA MICHEZO KWA WATOTO WA KITUO CHA AMANI CENTER CHA MJINI MOSHI.
Meneja
wa Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo kanda ya Kaskazini,Henry Kinabo
(kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 5 afisa uhusiano
wa kituo cha kulea watoto waishio kwenye mazingira magumu cha Amani
Center ,Kampuni ya Tigo imetoa kiasi hicho cha fedha pamoja na vifaa vya
michezo kwa ajili ya maandalizi ya mbio za Kilimanjaro Marathoni.
Meneja
wa kampuni ya Tigo Kanda ya Kaskazini,Henry Kinabo akikabidhi fulana
kwa watoto waishio katika mazingira magumu ya Kituo cha Aman Center cha
mjini Moshi.
Meneja
wa Tigo Kanda ya Kaskazini ,Henry Kinabo akifurahia jambo na afisa
uhusiano wa kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira magumu cha
Amani Center ,Salma Khatibu,wengine ni watoto waishio katika kituo
hicho.
………………………………………………………………………………………………………...
CHINA SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES FOR 2016/2017
Applications are invited from
committed, motivated and qualified Tanzanians to apply for postgraduate
studies in the one of China’s best Oil and Gas Universities – the China
University of Geosciences (Wuhan).
Sponsorship will be in the fields
of oil and gas. The scholarships will be processed in collaboration
with the Embassy of China in Tanzania and will be awarded to the best
twenty two (22) candidates.
- ELIGIBILITY
- Applicants must be holders of Bachelor’s degree in Earth Sciences or Engineering from recognized universities;
- Master’s Degree and Ph.D. applicants should not be older than 35 and 40 years respectively;
- Applicants will be required to pay for a ticket to China; other costs will be paid by the Government of China including return ticket; and
- Applicant once awarded scholarship, will not be allowed to decline for any reasons.
- MODE OF APPLICATION
- Interested applicants should write a letter of application to The Permanent Secretary of the Ministry of Energy and Minerals in which they should state their academic and practical background in the fields of gas and oil; level of studies they wish to pursue (Masters or Ph.D.); why they should be offered the scholarship; and how they will use their knowledge for the benefit of the nation.
- Applicants are required personally to conduct online application for the scholarship through http://www.csc.edu.cn/laihua or http://www.campuschina.org . The Agency Number for Online application is 8341.
- All applications should be addressed to:
Permanent Secretary,
Ministry of Energy and Minerals,
P.O. Box 2000,
Dar es Salaam.
- Applications must be attached with:
- Two copies of application forms printed from online applications;
- Two original sets of Letter of Recommendation;
- Two photocopies of academic transcripts of the most advanced studies (notarized photocopy);
- Two photocopies of Diploma of the Most Advanced Studies (notarized photocopy);
- Two photocopies of Foreigner Physical Examination Form;
- Two photocopies of Blood Test Report;
- Two copies of Study Plan (800 words) in China;
- Two copies of Birth Certificate;
- Reliable contacts: postal address and telephone numbers;
- A detailed Curriculum Vitae (CV);
- Copies of Form IV and VI National Examination Certificates; and
- One recent passport size photograph.
Note:
- All the above mentioned full package of application
documents should be arranged in two complete sets and use paper DIN A4.
- Testimonials/ provisional results/ statements of results will not be accepted.
- Applicants who are employed in the Public Service should route their applications through their respective employers; and
- Any application without relevant documents shall not be considered.
3.9. Closing Date: 17th March, 2016.
3.10. Notification: Shortlisted applicants will be notified by 10th April, 2016.
Permanent Secretary
Ministry of Energy and Minerals
5 Samora Machel Avenuee
- O. Box 2000,
11474 Dar es Salaam
E-Mail: info@mem.go.tz
Website: www.mem.go.tz
Serikali yawakutanisha vijana kuunda kanuni za uendeshaji Baraza la Vijana Taifa
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu Bw. Eric Shitindi akizungumza
na vijana (hawapo pichani) alipokuwa akifungua kikao cha wadau wa
maendeleo ya vijana katika kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa
Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana
Bw. James Kajugusi akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa maendeleo ya
vijana katika kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la
Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
Mwezeshaji Bw. Patrick Kipangula
(aliyesimama) akitoa mada kwa wadau wa maendeleo ya vijana wakati wa
kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana
Taifa jana jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa maendeleo ya vijana
akichangia mada wakati wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za
uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
Wawakilishi kutoka Mamlaka
mbalimbali za Serikali, Asasi za kiraia, Vyama vya siasa, Taasisi za
kidini, Vijana wenye ulemavu, Shule za sekondari na Shule za msingi
wakifuatilia kwa makini mada zilizokua zikiendelea wakati wa kikao cha
kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa
jana jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu Bw. Eric Shitindi (watatu
kushoto waliokaa) katika picha ya pamoja na vijana wenye ulemavu wakati
wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la
Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam. Wapili kulia (waliokaa) ni
Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi, wapili kushoto ni
Mwenyekiti wa kikao Bw. Godwin Kunambi, na wanne kulia (waliosimama) ni
Mkurugenzi msaidizi Vijana Bibi. Ester Riwa
Waziri Nape aahidi upatikanaji wa Sera ya Filamu nchini.
Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akiwasili eneo la tukio
kushuhudia uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati
ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25 Februari, 2016
Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu, Bi.
Joyce Fissoo.
Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (mwenye suti nyeusi) akiwahutubia
Wasanii pamoja na wageni waalikwa wakati wa siku ya uchaguzi wa Rais,
Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu
Tanzania (TAFF) uliofanyika 25 Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu,
Bi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwahutubia Wasanii pamoja na wageni
waalikwa wakati wa siku ya uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na
Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25
Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam.
Viongozi wa Uchaguzi wakitoa
maelekezo juu ya namna zoezi la upigaji kura kwa kiti cha Rais, Makamu
wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania
(TAFF).
Viongozi wa Uchaguzi wakitoa
maelekezo juu ya namna zoezi la upigaji kura kwa kiti cha Rais, Makamu
wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania
(TAFF).
Baadhi ya Wasanii toka vikundi
mbalimbali katika baadhi ya mikoa wakifuatilia kwa makini zoezi la
upigaji kura pamoja na sera na vipaumbele vya Wagombea wa ngazi
mbalimbali wakati wa uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe
wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25
Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Shirikisho la Filamu
Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba (kulia) akihitimisha ukomo wa
Serikali yake ya Shirikisho hilo kabla ya upigaji kura kuanza siku hiyo
ya 25 Februari, 2016.
………………………………………………………………………………………………………………..
ACTIONAID NA NORAD WAZINDUA MRADI WA KUSAIDIA UBORESHWAJI ELIMU NCHINI
Makamu
Mwenyekiti wa Shirika la Kimataifa la ActionAid nchini, Dkt. Azaveli
Lwaitama akitoa neno la ufunguzi wakati wa warsha ya uzinduzi wa mradi
wa kuimarisha elimu kupitia vyanzo vya ndani vya mapato (Promoting
Quality Education Through Progressive Domestic Resource
Baadhi ya wadau wa sekta ya elimu walioshiriki katika warsha ya uzinduzi wa mradi wa
kuimarisha elimu kupitia vyanzo vya ndani vya mapato (Promoting Quality
Education Through Progressive Domestic Resource Mobilization).








No comments :
Post a Comment