Friday, February 26, 2016

MAWAZIRI WAPEWA MWISHO LEO KUJAZA TAMKO LA MALI NA MADENI, HATI YA UADILIFU



kas1
Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa  ofisi ya Waziri Mkuu wakati alipotoa maagizo ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kuhusu  mawaziri ambao bado hawajajaza fomu za  Tamko la Rasilimali na Madeni wawe wamejaza fomu hizo na kuzirejesha katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Dar es Salaam ifikapo leo saa 12.00 jioni (Ijumaa, Februari 26, 2016).(PICHA NA JOHN BUKUKU- WA FULLSHANGWEDAR ES SALAAM)
kas2
Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa akiendelea kufafanua mambo kadhaa kwa wanahabari katika mkutano huo kushoto ni WAZIRI wa nchi,ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa Umma na Utawala bora, Mh Angella Kairuki

KAMPUNI YA MAWASILIANO YA TIGO YATOA MSAADA WA FEDHA ,KIASI CHA SHILINGI MIL TANO NA VIFAA VYA MICHEZO KWA WATOTO WA KITUO CHA AMANI CENTER CHA MJINI MOSHI.

Meneja wa Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo kanda ya Kaskazini,Henry Kinabo (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 5 afisa uhusiano wa kituo cha kulea watoto waishio kwenye mazingira magumu cha Amani Center ,Kampuni ya Tigo imetoa kiasi hicho cha fedha pamoja na vifaa vya michezo kwa ajili ya maandalizi ya mbio za Kilimanjaro Marathoni.
Meneja wa kampuni ya Tigo Kanda ya Kaskazini,Henry Kinabo akikabidhi fulana kwa watoto waishio katika mazingira magumu ya Kituo cha Aman Center cha mjini Moshi.
Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini ,Henry Kinabo akifurahia jambo na afisa uhusiano wa kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira magumu cha Amani Center ,Salma Khatibu,wengine ni watoto waishio katika kituo hicho.
………………………………………………………………………………………………………...

CHINA SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES FOR 2016/2017

  1. download (2)UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS
  2. INTRODUCTION
Applications are invited from committed, motivated and qualified Tanzanians to apply for postgraduate studies in the one of China’s best Oil and Gas Universities – the China University of Geosciences (Wuhan).
Sponsorship will be in the fields of oil and gas. The scholarships will be processed in collaboration with the Embassy of China in Tanzania and will be awarded to the best twenty two (22) candidates.
  1. ELIGIBILITY
  1. Applicants must be holders of Bachelor’s degree in Earth Sciences or Engineering from recognized universities;
  2. Master’s Degree and Ph.D. applicants should not be older than 35 and 40 years respectively;
  3. Applicants will be required to pay for a ticket to China; other costs will be paid by the Government of China including return ticket; and
  4. Applicant once awarded scholarship, will not be allowed to decline for any reasons.
  1. MODE OF APPLICATION
  • Interested applicants should write a letter of application to The Permanent Secretary of the Ministry of Energy and Minerals in which they should state their academic and practical background in the fields of gas and oil; level of studies they wish to pursue (Masters or Ph.D.); why they should be offered the scholarship; and how they will use their knowledge for the benefit of the nation.
  • Applicants are required personally to conduct online application for the scholarship through http://www.csc.edu.cn/laihua or http://www.campuschina.org . The Agency Number for Online application is 8341.
  • All applications should be addressed to:
Permanent Secretary,
Ministry of Energy and Minerals,
P.O. Box 2000,
Dar es Salaam.
  • Applications must be attached with:
  1. Two copies of application forms printed from online applications;
  2. Two original sets of Letter of Recommendation;
  3. Two photocopies of academic transcripts of the most advanced studies (notarized photocopy);
  4. Two photocopies of Diploma of the Most Advanced Studies (notarized photocopy);
  5. Two photocopies of Foreigner Physical Examination Form;
  6. Two photocopies of Blood Test Report;
  7. Two copies of Study Plan (800 words) in China;
  8. Two copies of Birth Certificate;
  9. Reliable contacts: postal address and telephone numbers;
  10. A detailed Curriculum Vitae (CV);
  11. Copies of Form IV and VI National Examination Certificates; and
  12. One recent passport size photograph.
Note:
  • All the above mentioned full package of application
documents should be arranged in two complete sets and use paper DIN A4.
  • Testimonials/ provisional results/ statements of results will not be accepted.
  • Applicants who are employed in the Public Service should route their applications through their respective employers; and
  • Any application without relevant documents shall not be considered.
3.9.   Closing Date: 17th March, 2016.
3.10. Notification: Shortlisted applicants will be notified by 10th April, 2016.
Permanent Secretary
Ministry of Energy and Minerals
5 Samora Machel Avenuee
  1. O. Box 2000,
11474 Dar es Salaam
E-Mail: info@mem.go.tz
Website: www.mem.go.tz

MAJALIWA AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNHCR NCHINI

majil1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR), Bi. Joyce Mends- Cole, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)
majil2

Serikali yawakutanisha vijana kuunda kanuni za uendeshaji Baraza la Vijana Taifa

vio1
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu Bw. Eric Shitindi akizungumza na vijana (hawapo pichani) alipokuwa akifungua kikao cha wadau wa maendeleo ya vijana katika kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
vio2
Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa maendeleo ya vijana katika kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
vio3
Mwezeshaji Bw. Patrick Kipangula (aliyesimama) akitoa mada kwa wadau wa maendeleo ya vijana wakati wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
vio4
Mjumbe  wa maendeleo ya vijana akichangia mada wakati wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
vio5
Wawakilishi kutoka Mamlaka mbalimbali za Serikali, Asasi za kiraia, Vyama vya siasa, Taasisi za kidini, Vijana wenye ulemavu, Shule za sekondari na Shule za msingi wakifuatilia kwa makini mada zilizokua zikiendelea wakati wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam.
vio6
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu Bw. Eric Shitindi (watatu kushoto waliokaa) katika picha ya pamoja na vijana wenye ulemavu wakati wa kikao cha kuchangia uandaaji wa kanuni za uendeshaji wa Baraza la Vijana Taifa jana jijini Dar es Salaam. Wapili kulia (waliokaa) ni Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi, wapili kushoto ni Mwenyekiti wa kikao Bw. Godwin Kunambi, na wanne kulia (waliosimama) ni Mkurugenzi msaidizi Vijana Bibi. Ester Riwa

Waziri Nape aahidi upatikanaji wa Sera ya Filamu nchini.

fiso1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akiwasili eneo la tukio kushuhudia uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25 Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu, Bi. Joyce Fissoo.
fiso3
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (mwenye suti nyeusi) akiwahutubia Wasanii pamoja na wageni waalikwa wakati wa siku ya uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25 Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam.
fiso4
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu, Bi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwahutubia Wasanii pamoja na wageni waalikwa wakati wa siku ya uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25 Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam.
fiso5
Viongozi wa Uchaguzi wakitoa maelekezo juu ya namna zoezi la upigaji kura kwa kiti cha Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF).
fiso6
Viongozi wa Uchaguzi wakitoa maelekezo juu ya namna zoezi la upigaji kura kwa kiti cha Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF).
fiso7
Baadhi ya Wasanii toka vikundi mbalimbali katika baadhi ya mikoa wakifuatilia kwa makini zoezi la upigaji kura pamoja na sera na vipaumbele vya Wagombea wa ngazi mbalimbali wakati wa uchaguzi wa Rais, Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) uliofanyika 25 Februari, 2016 Jijini Dar es Salaam.
fiso8
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba (kulia) akihitimisha ukomo wa Serikali yake ya Shirikisho hilo kabla ya upigaji kura kuanza siku hiyo ya 25 Februari, 2016.
………………………………………………………………………………………………………………..

ACTIONAID NA NORAD WAZINDUA MRADI WA KUSAIDIA UBORESHWAJI ELIMU NCHINI

IMG_3912
Makamu Mwenyekiti wa Shirika la Kimataifa la ActionAid nchini, Dkt. Azaveli Lwaitama akitoa neno la ufunguzi wakati wa warsha ya uzinduzi wa mradi wa kuimarisha elimu kupitia vyanzo vya ndani vya mapato (Promoting Quality Education Through Progressive Domestic Resource
IMG_3943
Baadhi ya wadau wa sekta ya elimu walioshiriki katika warsha ya uzinduzi wa mradi wa kuimarisha elimu kupitia vyanzo vya ndani vya mapato (Promoting Quality Education Through Progressive Domestic Resource Mobilization).
IMG_3946

No comments :

Post a Comment