
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza
jambo wakati alipokutana na kwa mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya
kukuza Uwekezaji (ZIPA) pamoja na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji
Tanzania (TIC) leo walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu]
01/07/2021. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi (kulia) leo amekutana kwa mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya kukuza Uwekezaji (ZIPA) pamoja na Uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/07/2021.
No comments:
Post a Comment