Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na wananchi wakati wa ufunguzi wa kituo cha afya cha Nanyala
kilichopo kata ya Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe ambacho
kitahudumia wakazi zaidi ya elfu kumi. Galawa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akiweka jiwe la msingi la ufunguzi wa kituo cha afya cha Nanyala
kilichopo kata ya Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe ambacho
kitahudumia wakazi zaidi ya elfu kumi, mwingine pichani ni mkuu wa mkoa
wa Songwe Mhe. Chiku Galawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa kituo cha afya cha Nanyala kilichopo kata ya Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe ambacho kitahudumia wakazi zaidi ya elfu kumi.(PICHA NA OMR)






No comments:
Post a Comment