Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu, Mh. Benjamini Mkapa alipowasili nyumbani kwake Msasani, jijini
Dar es salaam leo kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Mama Salma Kikwete,
Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimaiana na Mke wa Mh.
Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa walipowasili nyumbani kwake Msasani,
jijini Dar es salaam leo kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Mama Salma
Kikwete, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Rais
Mstaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamini Mkapa akisalimiana na Mke wa
Mh. Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikwete wakati alipofika kuhani Msiba wa
Baba yake, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu uliotokea hivi karibuni. Mh. Mkapa aliambatana na Mkewe Mama Anna Mkapa. Kulia ni Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mama Anna Mkapa akimfariji Mama Salma Kikwete.
Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwaeleza jambo Rais Mstaafu wa
awamu ya tatu, Mh. Benjamini Mkapa na Mkewe Mama Anna Mkapa, wakati
walipofika nyumbani kwake, Msasani jijini Dar es salaam leo kuhani msiba
wa Baba Mzazi wa Mama Salma Kikwete, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Rais
Mstaafu Mh. Benjamini Mkapa pamoja na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete wakifurahi jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Kangi
Lugola wakati walipokutana nyumbani kwa Mh. Kikwete, Msasani jijini Dar
es salaam leo kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Mama Salma Kikwete,
Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Kangi Lugola akitoa pole ya msiba kwa
Mama Salma Kikwete, aliyefiwa na Baba yake Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamu Wa Rais
Mstaafu, Dkt. Mohamed Gharib Bilal alipowasili nyumbani kwake Msasani,
jijini Dar es salaam leo kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Mama Salma
Kikwete, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Makamu Wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akimpa pole Mama Salma Kikwete, kwa kufiwa na Baba yake Marehemu Mzee Rashid Mkwachu. Dkt. Bilal aliambatana na Wake zake, Mama Zakhia na Mama Asha Bilal.
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimueleza jambo Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilal na Wake zake, Mama Zakhia na Mama Asha Bilal, walipofika nyumbani kwake, Msasani jijini Dar es salaam leo kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Mama Salma Kikwete, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilal na Wake zake, Mama Zakhia na Mama Asha Bilal pamoja na baadhi ya watoto wao.

Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha nyumbani kwake, Jaji
Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhan wakati alipofika kuhani msiba wa Baba
Mzazi wa Mama Salma Kikwete, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.

Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhan akimpa pole Mama Salma Kikwete, kwa kufiwa na Baba yake Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimueleza jambo Jaji Mkuu Mstaafu,
Augustino Ramadhan akimpa pole Mama Salma Kikwete, kwa kufiwa na Baba
yake Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Naibu
Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (wa pili kushoto) akimkabidhi Mke wa
Rais Mstaafu, Mama Salma Kikwete Rambirambi iliyotolewa na Wabunge
kufuatia kufiwa na Baba yake, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu. kushoto ni Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia. Naibu Waziri Mgalu aliambatana na Mh. Hawa Ghasia
Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiutambulisha ujumbe wa
Africa-America Institute (AAI) ukiongozwa na Mwenyekiti wake wa Bodi,
Stephen Pfeifer pamoja na Mariam Sow uliofika nyumbani kwake kumpa pole
kwa kufiwa na Baba Mzazi wa Mke wake, Mama Salma Kikwte, Marehemu Mzee Rashid Mkwachu.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza na mtoto
mkaziwa Kijiji cha Migato mara baada ya kuweka jiwe la msingi la jengo la wodi
ya mama na mtoto ya Zahanati ya Kijiji hicho kilichopo wilaya ya Itimila mkoa
wa Simiyu.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akiweka jiwe la msingi la jengo la wodi ya mama na
mtoto ya Zahanati ya Kijiji hicho kilichopo wilaya ya Itimila mkoa wa Simiyu
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza na wanakijiji wa
Migato na kuwahimiza kujitola katika kufanya shughli za kujiletea maendeleo wakati
mara baada ya kuweka jiwe la msingi la jengo la wodi ya mama na mtoto ya
Zahanati ya Kijiji hicho kilichopo wilaya ya Itimila mkoa wa Simiyu.
Wananchi wa kijiji cha magito
wakisikiliza hotuba ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee
na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile( hayupo pichani) mara baada ya kuweka
jiwe la msingi la jengo la wodi ya mama na mtoto ya Zahanati ya Kijiji hicho
kilichopo wilaya ya Itimila mkoa wa Simiyu.
Na WAMJW Simiyu
Wananchi wa Kijiji cha Itindilo Wilaya ya Itimilo, Nangale na Migato vilivyopo Wilaya ya Itimila mkoani Simiyu wameungana kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kuleta maendeleo kwa kuchangia nguvu kazi zenye thamani ya Shilling Millioni 24 kujenga Zahanati na kituo cha Afya vijiji hapo.
Hayo yamebainika wakati Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile wakati akikagua huduma za Afya na Maendeleo ya Jamii katika mkoa wa Simiyu.
Taarifa ya mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Ikindilo imesema kuwa mradi huo unaogharimu jumla ya shilling 541,000,000 Shillingi 250,000,000 kutoka Serikalini, Shillingi Millioni 275,000,000 kutoka wadau wa Maendeleo UNFPA na Shillingi Millioni 16 kutokana na nguvu za wananchi.
Pia mradi ujenzi wa wodi ya Mama na Mtoto katika Zahanati ya Kijiji cha Nangale unaogharimu jumla ya shilling 36,321,000 Shillingi 30,000,000 kutoka Serikalini kwa kushirikiana na UNFPA, na Shillingi Millioni 6,321,000 kutokana na nguvu za wananchi.
Kwa upande wa mradi wa wodi ya mama na Mtoto katika Zahanati ya Kijiji cha Migato unaogharimu jumla ya shilling 32, 4000, 000 Shillingi 25,800,000 kutoka Serikalini, Shillingi Millioni 30,000,000 kutoka wadau wa Maendeleo UNFPA na Shillingi Millioni 2 kutokana na nguvu za wananchi.
Aidha Naibu Waziri Dkt. Ndugulile amewapongeza wananchi wa vijiji cha Ikindilo, Nangale na Migito kwa kujitoa katika shughuli za Maendeleo kwa kuchangia nguvu zao.
"Nguvu kazi yenu wana Itindilo ndio nguvu ya Maendeleo katika maeneo yenu" alisisitiza Dkt. Ndugulile.
Naye Mkuu wa Wilaya ya Itimilo Mhe. Benson Kilangi amesema kuwa uongozi wa Wilaya uliamua kuhamasisha wananchi kuchangia nguvu zao katika kuunda kamati za ujenzi wa ujenzi wa Zahanati na Kituo cha Afya katika Vijiji vya Wilaya hiyo.
Mhe. Kilangi ameongeza kuwa wananchi walipata hamasa kubwa kutoka kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Kata Wilaya na Mkoa na kuwezesha kupata nguvu kazi katika mradi hiyo.
Wananchi wa Kijiji cha Itindilo Wilaya ya Itimilo, Nangale na Migato vilivyopo Wilaya ya Itimila mkoani Simiyu wameungana kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kuleta maendeleo kwa kuchangia nguvu kazi zenye thamani ya Shilling Millioni 24 kujenga Zahanati na kituo cha Afya vijiji hapo.
Hayo yamebainika wakati Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile wakati akikagua huduma za Afya na Maendeleo ya Jamii katika mkoa wa Simiyu.
Taarifa ya mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Ikindilo imesema kuwa mradi huo unaogharimu jumla ya shilling 541,000,000 Shillingi 250,000,000 kutoka Serikalini, Shillingi Millioni 275,000,000 kutoka wadau wa Maendeleo UNFPA na Shillingi Millioni 16 kutokana na nguvu za wananchi.
Pia mradi ujenzi wa wodi ya Mama na Mtoto katika Zahanati ya Kijiji cha Nangale unaogharimu jumla ya shilling 36,321,000 Shillingi 30,000,000 kutoka Serikalini kwa kushirikiana na UNFPA, na Shillingi Millioni 6,321,000 kutokana na nguvu za wananchi.
Kwa upande wa mradi wa wodi ya mama na Mtoto katika Zahanati ya Kijiji cha Migato unaogharimu jumla ya shilling 32, 4000, 000 Shillingi 25,800,000 kutoka Serikalini, Shillingi Millioni 30,000,000 kutoka wadau wa Maendeleo UNFPA na Shillingi Millioni 2 kutokana na nguvu za wananchi.
Aidha Naibu Waziri Dkt. Ndugulile amewapongeza wananchi wa vijiji cha Ikindilo, Nangale na Migito kwa kujitoa katika shughuli za Maendeleo kwa kuchangia nguvu zao.
"Nguvu kazi yenu wana Itindilo ndio nguvu ya Maendeleo katika maeneo yenu" alisisitiza Dkt. Ndugulile.
Naye Mkuu wa Wilaya ya Itimilo Mhe. Benson Kilangi amesema kuwa uongozi wa Wilaya uliamua kuhamasisha wananchi kuchangia nguvu zao katika kuunda kamati za ujenzi wa ujenzi wa Zahanati na Kituo cha Afya katika Vijiji vya Wilaya hiyo.
Mhe. Kilangi ameongeza kuwa wananchi walipata hamasa kubwa kutoka kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Kata Wilaya na Mkoa na kuwezesha kupata nguvu kazi katika mradi hiyo.
Naibu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile(katikati) akifurahia jambo
pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka (kushoto) mara baada ya
kumtembeea Ofisininkwake akiwa katika ziara ya siku mbili ya kikazi mkoani
humo. (Picha na WAMJW)
Na WAMJW Simiyu
Naibu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile imewaagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu
kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakaobainika kusababisha mimba
kwa watoto.
Ameyasema hayo wakati alipotembelea Mkoa wa Simiyu
kwa ziara ya kikazi kutembela na kukagua maendeleo ya Sekta ya Afya na
Maendeleo ya Jamii kwa Mkoa wa Simiyu.
Dkt. Ndugulile amesema kuwa mimba za utotoni
zimekuwa zikiwakatisha ndoto zao watoto walio wengi kwa kukatatisha masomo yao.
“Niwatake uongozi wa mkoa kufuatilia suala hili
kwa undani na kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakaobainika
kuhusika katika kuwapa mimba watoto alisisitiza Mhe. Dkt. Ndugulile.
Amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za kitaifa Mkoa
wa Simiyu una asilimia 32 za mimba za utotoni hivyo kukatisha masomo na ndoto kwa
watoto wa shule.
Ameongeza
kuwa Serikali haitavumilia kuona watoto wakipata mimba wakiwa shuleni ambazo zinatahatarisha
ustawi wao nchini.
Aidha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka
amemuelezea Naibu Waziri kuwa anaendelea kuwachukulia hatua wale wote
wanaofanya vitendo hivyo kulingana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 na Katiba
ya nchi kwa kuwapa mimba watoto wa shule na kwa kipindi cha mwaka huu amewakamata zaidi watu tisa katika Wilaya ya Maswa .
Mhe. Mtaka ameongeza kuwa katika mkoa wake
hawataruhusu kutokea kwa matukio hayo na kwatahadharisha wale wote
watakaobainikiwa kuwa watoto wa shule mimba na kuwaasa wazazi walezi na walimu
kuzingatia katika kumlinda mtoto.
Mhe. Mtaka ameeleza kuwa Serikali ya mkoa
itaendelea kupambana pia na vitendo vya Ndoa, Mimba za Utotoni na ukatili wa
Kijinsia,















No comments:
Post a Comment