Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akigawa pikipiki kwa waakilishi wa Maafisa Ugani 7000 katika hafla iliyofanyika nje ya Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo tarehe 04, Aprili, 2022. Kulia ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kushoto ni Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe







.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment