Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB –
Ruth Zaipuna akiongea kwenye mdahalo ulioandaliwa na shirika la
‘International Finance Corporation’ (IFC) kuhusu Usawa wa Kijinsia
Kazini. Mdahalo huo uliofanyika jana jijini Dar es Salaam, ulikutanisha
Wakurugenzi kutoka taasisi za Fedha, Wajasiriamali na Jinsia nchini.
Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Benki ya Standard Chartered – Sanjay
Rughani na kushoto ni Bi. Hodan Addou kutoja Umoja wa Mataifa.
No comments:
Post a Comment