Pages

Friday, November 2, 2018

KAMATI YA BAJETI YAKUTANA NA WIZARA YA FEDHA

 Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji (TBC)Dkt. Ayoub Rioba wakati Mkurugenzi huyo alipomtembelea na kufanya nae mazungumzo Ofisini kwake Jijini Dodoma, wa kwanza ni Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kati TBC , Ndugu Bakari Msulwa
 Katibu wa Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akiwa na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji (TBC) Dkt. Ayoub Rioba wakati Mkurugenzi huyo alipomtembelea na kufanya nae mazungumzo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti Mheshimiwa George Simbachawene akielezea jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokuwa ikijadili Taarifa za Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020 na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2019/20 – 2021/22 katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip  Mpango.
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wakijadili Taarifa za Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020 na Mwongozo wa maandalizi ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2019/20 – 2021/22 kataika Kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment