Spika wa
Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana
na Ndg. David Mollel mume wa Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA) Mhe. Ruth Mollel
alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Kushoto
ni Mhe. Ruth Mollel.
Spika wa
Bunge Mhe. Job Ndugai ( wa pili kushoto)
akimsikiliza Ndg. David Mollel (wa kwanza kulia) mume wa Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA)
Mhe. Ruth Mollel alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya
Kikwete (JKCI) . Wengine katika picha ni Katibu wa Bunge Ndg Stephen Kagaigai (wa
pili kulia) na Mhe Ruth Mollel (wa kwanza kushoto).
Spika wa
Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana
na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya
Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof Mohamed Janabi alipokutana naye hospitali
hapo. Kulia ni Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai.
Spika wa
Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiteta
jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi
ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof Mohamed Janabi alipokutana naye hospitali
hapo.
No comments:
Post a Comment