Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Juma Nkamia (kulia )
akiendesha kikao cha kamati hiyo kilichofanyika leo mjini Dodoma.
Wakuu wa Taasisi za Wizara ya
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakifuatilia mjadala wakati wa kikao
cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii
kilichofanyika leo mjini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia mjadala wakati wa
kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika leo mjini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mama Salma Kikwete (kulia)
akifuatilia mjadala wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichofanyika leo
mjini Dodoma.
PICHA NA:OCTAVIAN KIMARIO
No comments:
Post a Comment