Makamu Mwenyekiti wa kamati ya
kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Mwanne Mchemba
akizungumza na Wajumbe wa kamati hiyo pamoja na viongozi wakuu kutoka
Mkoa wa Simiyu (hawapo kwenye picha) walioongozwa na Mkuu wa Mkoa huo,
Mhe. Anthony Mtaka wakati wa kupokea na kujadili Taarifa kuhusu
utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na Makadirio ya
Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. Kulia ni katibu kamati
wa kamati hiyo, Ndg. Victor Leonard
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya
Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Saada Mkuya akizungumza na
Wajumbe wa kamati hiyo pamoja na viongozi wakuu kutoka Mkoa wa Simiyu
(hawapo kwenye picha) walioongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Anthony
Mtaka wakati wa kupokea na kujadili Taarifa kuhusu utekelezaji wa Bajeti
ya Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi
kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 katika kikao kilichofanyika leo ukumbi wa
Pius Msekwa Mjini Dodoma. Kushoto ni Mjumbe wa kamati, Mhe. Lucia Mlowe
Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya
kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakifuatilia mazungumzo
wakati wa kupokea na kujadili Taarifa kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya
Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa
Mwaka wa Fedha 2018/2019. Kutoka kushoto ni Mhe. Lucia Mlowe, Mhe. Saada
Mkuya, Mhe. Mwantum Haji na Mhe. George Lubeleje
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.
Anthony Mtaka akizungumza na Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya
Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa kupokea na kujadili Taarifa
kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2017/2018 pamoja na
Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. Kulia ni
Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mhe. Jumanne Sagini
(PICHA NA OFISI YA BUNGE
No comments:
Post a Comment