Pages

Monday, January 2, 2017

WAZIRI MKUU AMJULIA HALI MAJIMAREFU KAIRUKI HOSPITALI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani ambaye amelazwa katika hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar es salaam akitibiwa Januari 2, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WALEVI UINGEREZA WAWAPA KAZI YA ZIADA MADAKTARI MWAKA MPYA

OLIVIER GIROUD KAMA 'MKHI' WA MAN U ATUMBUKIZA GOLI TAMU

Goli tamu la Olivier Giroud alilolifunga kwa mpira wa kisigino kwa nyuma limechochea ushindi wa Arsenal wa magoli 2-0 dhidi ya Crystal Palace na kukwea hadi katika nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi.

Mfaransa Giroud alilazimika kujaribu bahati kwa kupiga mpira kwa mtindo wa shuti la Nge baada ya pande la Alexis Sanchez kupitia nyuma yake.

Arsenal ilipata goli lake la pili kupitia kwa Alex Iwobi aliyefunga kwa mpira wa kichwa, kabla ya Palace kupoteza nafasi nzuri ya kufunga iliyookolewa na kipa Petr Cech.
                          Olivier Giroud akifunga goli la kwanza la Arsenal kwa shuti la Nge
                                                         Alex Iwobi akifunga goli kwa mpira wa kichwa

No comments:

Post a Comment