Guest of honor Michael Mwandezi (mkurugenzi wa halmshauri ya Kilimanjaro) akikata utepe na washindi wa Whitedent promosheni,
Daniel Amiri Ramadhan kutoka Tanga car (no.9) na Julius
Ferdinand Masawe kutoka Moshi car (no.8), katika halfa ya kukabidhi
magari kwa washindi baada ya kampeni ya Whitedent ya kuadhimisha miaka
25 kuisha.
Guest of honor Michael Mwandezi
(mkurugenzi wa halmshauri ya Kilimanjaro) akimkabidhi gari mshindi
kutoka Tanga, Daniel Amiri Ramadhan (car no.9) katika halfa ya kukabidhi
magari kwa washindi baada ya kampeni ya Whitedent ya kuadhimisha miaka
25 kuisha.
Mgeni rasmi SSP Audas Majaliwa
akimkabidhi funguo za gari mmoja ya mshindi wa Whitedent promoshen,
Pascal Luhendeka kutoka Geita katika halfa iliyofanyika Mwanza mjini ya
kukabidhi magari kwa washindi baada ya kampeni ya Whitedent ya
kuadhimisha miaka 25 kuisha.
Mgeni rasmi SSP Audas Majaliwa
akimkabidhi funguo za gari mmoja ya mshindi wa Whitedent promoshen,
Yaziru Yassini kutoka Kagera katika halfa iliyofanyika Mwanza mjini ya
kukabidhi magari kwa washindi baada ya kampeni ya Whitedent ya
kuadhimisha miaka 25 kuisha.
No comments:
Post a Comment