Balozi
wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Jorge Luis amuga Waziri wa Afya,maendeleo
ya Jamii Jinsia,Wazee na watoto Ummy mwalimu leo ofisini kwake,Balozi
Luis amemaliza muda wake na hivyo kurejea nchini Cuba Waziri
Ummy mwalimu amesema anaishukuru nchi ya Cuba kwa ushirikiano wao wa
kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya afya hususani kwenye mafunzo na
kuleta madaktari kufanya kazi nchini Tanzania
(picha na Wizara ya Afya)
No comments:
Post a Comment