Pages

Tuesday, December 6, 2016

MAJALIWA AZINDUA BENKI YA UCHUMI COMMERCIAL KATIKA MJI MDOGO WA KARAT




bujiku
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wajumbe wa bodi ya Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu kabla ya kufungua benki hiyo Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bujk
Baadhi ya viongozi na watumishi wa Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza kabla ya kufungua tawi hilo Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
piki
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kufungua Benki ya Uchumi Commercial tawi la Karatu Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pok
   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Benki ya Uchumi Commercial  tawi la Karatu baada ya kuifungua Desemba 5, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
telle
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea Benki ya Uchumi Commercial, tawi la Karatu  baada ya kuifungua Desemba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment