Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akijadiliana jambo na Mkuu wa Mkoa wa
Kilimanjaro Bw. Amos Makala walipokutana mjini Moshi kwa ziara ya
ukaguzi wa miradi iliyo chini ya sekta ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano.
Mkuu wa Wilaya ya Same Bw. Herman Kapufi akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wanaofanya kazi katika kampuni ya Dott Services Limited inayojenga barabara ya Same-Mkumbara Km 96. Kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa
wafanyakazi wa kampuni ya Dott Services Limited wakishangilia
kwa furaha baada ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof.
Makame Mbarawa kumtaka mkandarasi kuwalipa madai yao yote ifikapo
Februari 26, mwaka huu.
Muoneano wa Jengo la Kituo cha Forodha cha pamoja (One Stop Border Post) kwa upande wa Tanzania lililopo Holili.
Ujumbe wa Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa ukielekea katika kituo cha
pamoja cha forodha (One Stop Border Post) kwa upande wa Taveta nchini
Kenya.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipata ufafanuzi wa namna ya kituo cha
pamoja cha Forodha kinavyofanya kazi kutoka kwa Meneja Forodha kwa
upande wa Taveta – Kenya Bw. Daniel Nyambaka.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akiagana na Meneja Forodha kwa upande
wa Taveta – Kenya Bw. Daniel Nyambaka mara baada ya kukagua kituo hicho.
………………………………………………………………………………………………………
STATEMENT BY HEAD OF UN MISSION IN TANZANIA ON THE OCCASION OF THE 50TH ANNIVERSARY OF UNDP
UN Resident Coordinator in Tanzania and UNDP Resident Representative, Mr. Alvaro Rodriguez.
Today
marks the 50th Anniversary of the United Nations Development Programme
(UNDP). Founded in 1966, UNDP now works in some 170 countries and
territories to help eradicate poverty and reduce inequalities and
exclusion.
KLABU YA KIMATAIFA LIONS CLUB INTERNATIONAL YATOA MSAADA WA MADAWATI YA CHUMA SHINYANGA
Pichani viongozi wa wilaya ya Shinyanga,wazazi na maafisa kutoka Lions Club International wakiongozwa na Gavana
wa Lions Club katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini
bwana Hyderali Gangji wakiwa katika shule ya msingi Town…Madawati hayo
165 yametolewa na Lions Club ya mkoa wa Mwanza.Mwandishi mkuu wa
Malunde1 blog,Kadama Malunde ametuletea picha 30 kilichojiri mwanzo
hadi mwisho
Hapa ni katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro(katikati).Kushoto ni meya wa manispaa ya Shinyanga,ambaye pia ni diwani wa kata ya Shinyanga ilipo Shule ya Msingi Town na Mwenge akimtambulisha gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji na jinsi klabu hiyo inajihusisha na utoaji wa misaada kwa wananchi wa mkoa wa Shinyanga

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akizungumza na gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji

Wanachama wa Lions Club International walioambatana na gavana

Kulia ni gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji akieleza namna klabu yake inavyofanya kazi katika nchi 210 duniani kote

Wanachama wa Lions Club International wakiwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga

Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji alisema Lions Club International ina wanachama Milioni 1 na laki nne duniani kote na nchini Tanzania kuna vilabu 18 na nchini Uganda vilabu 24

Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji alisema wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali mkoani Shinyanga ambapo mwaka jana walitoa msaada wa chakula kwa wahanga wa mvua ya Mwakata wilayani Kahama,pia chakula katika kituo cha walemavu wa ngozi cha Buhangija,kutoa madawati katika shule ya msingi Town na Mwenge

Miongoni mwa madawati ya chuma 165 yaliyotolewa na Lions Club International katika shule ya msingi Town na Mwenge katika manispaa ya Shinyanga

Hapa ni katika shule ya msingi Town katika manispaa ya Shinyanga ,aliyesimama ni mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Said Juma Issa akiwakaribisha viongozi mbalimbali waliofika katika shule wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati 65 kwa shule hiyo na 100 katika shule ya msingi Mwenge

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Town wakiangalia madawati waliyopewa na Lions Club International

Kulia ni diwani wa kata ya Shinyanga mjini,ambaye pia ni meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam aliyefanya jitihada za kupatikana kwa madawati katika shule za kata yake,Town na Mwenge.Diwani huyo pia ni mwanachama wa Lions Club International

Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Town Josephine Mabula akisoma risala kwa mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ambapo alisema shule hiyo yenye wanafunzi 1104 sasa haina uhaba tena wa madawati baada ya kupokea kutoka Lions Club International
Hapa ni katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro(katikati).Kushoto ni meya wa manispaa ya Shinyanga,ambaye pia ni diwani wa kata ya Shinyanga ilipo Shule ya Msingi Town na Mwenge akimtambulisha gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji na jinsi klabu hiyo inajihusisha na utoaji wa misaada kwa wananchi wa mkoa wa Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akizungumza na gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji
Wanachama wa Lions Club International walioambatana na gavana
Kulia ni gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji akieleza namna klabu yake inavyofanya kazi katika nchi 210 duniani kote
Wanachama wa Lions Club International wakiwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga
Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji alisema Lions Club International ina wanachama Milioni 1 na laki nne duniani kote na nchini Tanzania kuna vilabu 18 na nchini Uganda vilabu 24
Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji alisema wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali mkoani Shinyanga ambapo mwaka jana walitoa msaada wa chakula kwa wahanga wa mvua ya Mwakata wilayani Kahama,pia chakula katika kituo cha walemavu wa ngozi cha Buhangija,kutoa madawati katika shule ya msingi Town na Mwenge

Miongoni mwa madawati ya chuma 165 yaliyotolewa na Lions Club International katika shule ya msingi Town na Mwenge katika manispaa ya Shinyanga
Hapa ni katika shule ya msingi Town katika manispaa ya Shinyanga ,aliyesimama ni mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Said Juma Issa akiwakaribisha viongozi mbalimbali waliofika katika shule wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati 65 kwa shule hiyo na 100 katika shule ya msingi Mwenge

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Town wakiangalia madawati waliyopewa na Lions Club International
Kulia ni diwani wa kata ya Shinyanga mjini,ambaye pia ni meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam aliyefanya jitihada za kupatikana kwa madawati katika shule za kata yake,Town na Mwenge.Diwani huyo pia ni mwanachama wa Lions Club International
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Town Josephine Mabula akisoma risala kwa mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ambapo alisema shule hiyo yenye wanafunzi 1104 sasa haina uhaba tena wa madawati baada ya kupokea kutoka Lions Club International
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano azungumza na wakala wa majengo (TBA)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akiongea na menejimenti ya Wakala
wa Majengo Tanzania (TBA) alipowatembelea katika ofisi zao leo jijini
Dar es Salaam, wakati wa ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya
wizara yake .
Wafanyakazi wa Wakala wa
Majengo Tanzania (TBA) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(hayupo katika picha) leo jijini Dar
es Salaam, katika ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara
yake .
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akimsikiliza Kaimu Mtendaji Mkuu wa
Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi. Manase Ole Kujan katika
ziara yake ya kuzitambua tasisi zilizo chini ya wizara yake kwa
kuangalia majukumu yanayotekelezwa na Taasisi hizo.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani (Kushoto) akifafanua jambo kwa Kaimu
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) Mhandisi.Julius
Mamilo(kulia) wakati ziara yake ya kuzitambua tasisi zilizo chini ya
wizara yake kwa kuangalia majukumu yanayotekelezwa na Taasisi hizo leo
jinini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akiongea wakati wa kikao na
wafanyakazi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) alipowatembelea katika
ofisi zao leo jijini Dar es Salaam, wakati wa ziara ya kuzitambua
tasisi zilizopo chini ya wizara yake kushoto ni Mtendaji Mkuu wa
Wakala wa TBA Arch.Elius Mwakalinga .
Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la
Ujenzi (NCC) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(Hayupo katika picha) Mamilo katika
ziara yake ya kuzitambua tasisi zilizo chini ya wizara
Tigo yafikisha upatikanaji wa huduma ya 4G LTE Moshi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga (watatu kulia) akiwa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la
Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini, anayemaliza muda wake,
Joyce Mends-Cole (wapili kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja
Jenerali Projest Rwegasira (kulia), Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba
Yahya (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Harrison Mseke
(wapili kulia) wakielekea katika hafla fupi iliyoandaliwa na Wizara hiyo
kwa ajili ya kumuaga Mwakilishi wa UNHCR nchini, iliyofanyika katika
Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga akizungumza katika hafla ya kumuaga Mwakilishi Mkazi
wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini,
anayemaliza muda wake, Joyce Mends-Cole (watatu kulia). Katika hotuba
yake fupi, Waziri Kitwanga alimshukuru Mwakilishi huyo kwa ushirikiano
wake mzuri kati ya Wizara na UNHCR, pia alimtakia safari njema na
mafanikio mema arudipo nyumbani kwake. Joyce anatarajia kustaafu rasmi
katika nafasi hiyo mwezi ujao. Wanne kulia ni Naibu Waziri wa Wizara
hiyo, Injinia Hamad Masauni, kushoto aliyekaa ni Katibu Mkuu, Meja
Jenerali Projest Rwegasira, na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga (kushoto) akimkabidhi zawadi ya picha Mwakilishi Mkazi
wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini,
anayemaliza muda wake, Joyce Mends-Cole, kwa ajili ya kumbukumbu yake
kutokana na ushirikiano mzuri kati ya Shirika lake la UNHCR na Wizara.
Hafla hiyo fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi ilifanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la
Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini, anayemaliza muda wake,
Joyce Mends-Cole akimshukuru Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles
Kitwanga (wapili kushoto) pamoja na viongozi wengine wa Wizara hiyo, kwa
ushirikiano mkubwa waliompa wakati anaiongoza UNHCR. Pia katika hotuba
yake, Joyce alimpongeza Rais John Magufuli kwa uongozi wake mzuri pamoja
na ushirikiano mkubwa wanaoupata kutoka katika Serikali yake. Wakwanza
kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira.
Watatu kushoto ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Mbarak
Abdulwakil ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi. Wapili kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Balozi Simba Yahya, na Wanne kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya
Wakimbizi, Harrsion Mseke. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi,
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrsion Mseke akizungumza katika
hafla ya kumuaga Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia
Wakimbizi (UNHCR) nchini, anayemaliza muda wake, Joyce Mends-Cole
(watatu kulia). Katika hotuba yake, Mseke alimshukuru Joyce kwa
ushirikiano wake mkubwa aliouonyesha wakati wa uongozi wake. Wapili
kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga ambaye
aliiongoza hafla fupi iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar
es Salaam. Wanne kulia ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Injinia Hamad
Masauni. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest
Rwegasira. Watatu kushoto ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais,
Mbarak Abdulwakil ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi. Wapili kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Injinia Hamad Masauni (kushoto) akimuaga Mwakilishi Mkazi wa
Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini, anayemaliza
muda wake, Joyce Mends-Cole mara baada ya kumaliza sherehe fupi
iliyoandaliwa na Wizara ya kumuaga kiongozi huyo wa UNHCR. Hafla hiyo
fupi ilifanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam leo na
kuhudhuriwa na Viongozi Wakuu wa Wizara akiwemo Waziri wa Wizara hiyo,
Charles Kitwanga. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga (wanane kushoto), Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Injinia
Hamad Masauni (watano kulia), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali
Projest Rwegasira (wasaba kushoto), Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa
Rais,
No comments:
Post a Comment