Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda cha saruji cha Simba cha jijini
Tanga wakati alipokitembelea, Februari 3, 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa
Tanga, Marten Shigela na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda
hicho, Renhardt Swart. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda cha saruji cha Simba cha jijini
Tanga wakati alipokitembelea Februari 3, 2020. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment