Pages

Saturday, March 30, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA USWISI NCHINI


V25A7426
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akisalimiana na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli alipomtembelea leo katika Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
V25A7466 V25A7464
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli alipomtembelea leo Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
V25A7482
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kulia) katika picha ya pamoja na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Ndg. Florence Mattli baada ya mazungumzo yaliyofanyika  leo Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment