Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akimuapisha Fatma Gharib Bilal kuwa Katibu Mkuu katika Wizara ya
Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto katika hafla iliyofanyika leo
ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akimuapisha Nd,Abdalla Hassan Mitawi kuwa Naibu Katibu Mkuu katika
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa
Ikulu Mjini Zanzibar
Baadhi
ya Mawaziri waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Viongozi leo katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein aliwaapisha Viongozi hao Fatma
Gharib Bilal kuwa Katibu Mkuu katika Wizara ya
Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto na Nd,Abdalla Hassan Mitawi
kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais Mhe.Balozi Seif Ali
Iddi kabla kuwaapisha Viongozi aliowateuwa hivi karibuni hafla hiyo ya
kiapo ilifanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Miongoni
mwa Viongozi waliohudhuria katika kiapo cha Viongozi Fatma Gharib
Bilal kuwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Wanawake
na Watoto na Nd,Abdalla Hassan Mitawi kuwa Naibu Katibu Mkuu katika
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,walioapishwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo,
Picha na Ikulu,
No comments:
Post a Comment