Pages

Tuesday, October 3, 2017

TAMASHA LA TIGO FIESTA LATIKISA KIGOMA WIKIENDI HII



Wasanii Ben Pol na Jux wakiimba pamoja wimbo wao walioshirikiana ‘Nakuchana’ kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma usiku wa kuamkia jumatatu.
Aslay akiburudisha wakazi wa Kigoma
Msanii Chege na Nandy wakiimba pamoja wimbo wao walioshirikiana ‘kelele za chura’kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani  Kigoma usiku wa kuamkia jumatatu.
Darasa akiburudisha wakazi wa Kigoma
Wasanii Stamina na Maua sama wakiimba kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma
Mr blue akipagawisha umati  wa wakazi wa kigoma
Msanii wa Bongo flea Ommy Dimpoz akiimba kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma
Roma Mkatoliki akiimba kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma
Roma mkatoliki akiburudisha umati wa wanakigoma waliojitokeza katika viwanja vya Lake Tanganyika.
Young D akiimba kwa hisia katika jukwaa la Tigo fiesta

No comments:

Post a Comment