Pages

Monday, July 3, 2017

WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA SABASABA

sam1 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Samwel Kamanga akiweka saini katika kitabu chwa wageni alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha na Mipango katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara (Saba saba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Wizara ya Fedha na Mipango Josephine Majura.
sam2
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi akisaini kitabu cha wageni katika banda la GEPF wakati alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara (Saba saba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es salaam
sam3
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko Shirika la Bima la Taifa Bw. Elisante Maleko wakati alipotembelea Taasisi hiyo iliyopo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango katika banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara (Saba saba) yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere barabara ya Kilwa, Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment