Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour (kushoto) akisaini kitabu cha wageni baada
ya kuwasili kwenye Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi katika hafla ya kukabidhi vitabu 152 vilivyotolewa na Zantel kwa Chuo hicho. Kulia ni Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani
Unguja.
ya kuwasili kwenye Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi katika hafla ya kukabidhi vitabu 152 vilivyotolewa na Zantel kwa Chuo hicho. Kulia ni Mwenyekiti wa Zantel, Rachel Samren. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani
Unguja.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi wakishuhudia hafla ya kukabidhiwa
msaada wa vitabu zaidi ya 152 kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani Unguja.
msaada wa vitabu zaidi ya 152 kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Hafla hiyo ilifanyika juzi kisiwani Unguja.
Mwenyekiti
wa Zantel, Rachel Samren (wa pili kushoto) akikabidhi vitabu kwa Mkuu
wa Chuo cha Karume cha Sayansi na Ufundi, Haji Abdulhamid. Kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour na kulia ni
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania, Benoit Janin wakishuhudia.
Mkuu
wa Chuo cha Karume cha Sayansi na ufundi Haji Abdulhamid akitoa
shukrani baada ya kupokea msaada wa vitabu 152 vyenye thamani ya Tsh 10
milioni kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel. Kushoto ni
Mkurugenzi wa Zantel Afrika, Mohamed Ali Dabbour, Mwenyekiti wa Zantel,
Rachel Samren (wa pili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Zantel Tanzania
Benoit Janin.





No comments:
Post a Comment