Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akisalimiana na mkuu wa mkoa wa ruvuma Mhandisi Binilis Mahenge mara
alipowasili katika uwanja wa ndege wa Ruvuma kwa ziara ya kikazi kulia
ni mke wa mkuu wa mkoa wa ruvuma Mama Mahenge
Waziri mkuu Kassim Majaliwa
akisalimiana na Kaimu Jaji Mfawidhi wa Songea Mh Salima Chikoyo ambaye
alikuwepo katika uwanja wa ndege wa Ruvuma katika mapokezi ya waziri
mkuu Kushoto ni Naibu waziri wa maliasili na utali Mhandisi Ramo Makani
na kushoto ni katibu tawala wa mkoa wa Ruvuma Hassani Bandeheko.
Waziri mkuu amewasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi
No comments:
Post a Comment