Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Mhe.Jenister Mhagama akiongea na Katibu Mkuu Ofisi hiyo (Sera na
Uratibu) Dkt Hamis Mwinyimvua wakati akikagua maandalizi ya maandhimisho
ya miaka 55 ya Uhuru Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.Wa mwisho
kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Maadhimisho na Sherehe za kitaifa
Ofisi ya Wazir Mkuu Bi.Flora Mazelengwa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni
Jenerali Venanche Salvatory Mabeyo.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera na
Uratibu) Dkt Hamis Mwinyimvua akimweleza maendeleo ya maandalizi ya
maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Mhe.Jenister Mhagama leo uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.Kulia kwa
Waziri ni Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Venanche Salvatory
Mabeyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Maadhimisho na
Sherehe za kitaifa Ofisi ya Waziri Mkuu Bi.Flora Mazelengwa akizungumza
na Katibu Mkuu Ofisi hiyo (Sera na Uratibu) Dkt. Hamis Mwinyimvua baada
ya ukaguzi wa maandalizi ya ukaguzi wa maandalizi ya maadhimisho ya
miaka 55 ya Uhuru Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Viongozi mbalimbali wa Jeshi na Serikali
wakifuatilia maandalizi ya miaka 55 ya Uhuru yatakayofanyika uwanja wa
Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 9 Desemba.
Kikosi cha Komando kikiwa katika mazoezi
ya kujiweka sawa na maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru yanayotarajiwa
kufanyika tarehe 9 katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Bendi ya Jeshi nayo ikiwa katika mazoezi
ya nyimbo mbalimbali zitakazotumika katika kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru
yanayotarajiwa kufanyika tarehe 9 katika Uwanja wa Uhuru JIjini Dar es
Salaam.
Upakaji wa rangi ukiendelea katika
kuupendezesha uwanja wa Uhuru tayari kwa maadhimisho ya miaka 55 ya
Uhuru yanayotarajiwa kufanyika tarehe 9 katika Uwanja wa huo.
No comments:
Post a Comment