Mhe.Ummy
Mwalimu,Waziri Afya Maendeleo ya jamii jinsia wazee na Watoto akiwa
balozi Abdullah Al Suwaid kutoka muungano wa falme za kiarabu
alipomtembelea ofisini kwake.
Katika
mazungumzo yao walijadiliana ushirikiano kati Serikali ya Tanzania na
falme za kiarabu ambapo programs maalumu ya Madaktari kutoka falme za
kiarabu kwa kushirikiana na madaktari wa hapa nchini wataendesha
hospitali zinazotembea(mobile hospitals)katika mikoa yote kwa kutoa
huduma za Afya kwa Siku tano kila Mkoa kila mwezi.Huduma hizi zitajikita
zaidi katika Maeneo yasiyo na madaktari bingwa hususan magonjwa yasiyo
ya kuambukiza kama vile kisukari,magonjwa ya Moyo.Mpango huu pia
utahusisha Madaktari wanne toka Tanzania kwenda falme za kiarabu kwa
mafunzo zaidi. Balozi alifuatana na madaktari,dkt Adil pishar na dkt
Atifa Girrlaini. Mpango huu ni wa mwaka Mona,utaanza mwaka ujao 2017
No comments:
Post a Comment