Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip
Isdori Mpango, akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira Mheshimiwa Selemani Jafo kushoto na Naibu Waziri
Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mheshimiwa Hamad Hassan
Chande kulia, kwenye Ofisi ya Makamu wa Rais katika makazi yake Jijini
Dodoma leo April 2021. katika mazungumzo yao Makamu wa Rais Mheshimiwa
Dkt. Mpango amesisitiza juu ya utekelezaji wa haraka masuala ya
Changamoto zilizobaki za Muungano na Mazingira ikiwemo suala la
Mabadiliko ya Tabia Nchi.
Pages
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment