Thursday, March 21, 2019

HAFLA YA UTIAJI SAINI WA UJENZI MRADI WA JENGO LA KISONGE MICHENZANI ZANZIBAR WAFANYIKA LEO


????????????????????????????????????
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa ZSSF mara baada ya kuwasili katika Hafla ya Utiaji saini Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wageni Waalikwa waliohudhuria katika Hafla ya Utiaji saini Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa na Viongozi wengine wakishuhudia Utiaji Saini Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra Issa Machano (kushoto)akitiliana saini na Msaidizi Meneja Mkuu wa Kampuni ya Group Six International ltd Fang Xiaokai Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra Issa Machano (kushoto)akibadilishana hati ya  saini na Msaidizi Meneja Mkuu wa Kampuni ya Group Six International ltd Fang Xiaokai kuhusu Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra Issa Machano akitoa hotuba baada ya kutiliana  saini na Kampuni ya Group Six International ltd  kuhusu  Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ZSSF Dkt,Suleiman Rashid Mohamed akitoa hotuba katika hafla ya Utiaji Saini Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
????????????????????????????????????
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa akitoa hotuba katika hafla ya Utiaji Saini Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.kulia ni Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra Issa Machano na Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ZSSF Dkt,Suleiman Rashid Mohamed 
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments :

Post a Comment