Waziri wa Fedha na Mipango Balozi
Mohamed Ramia Abdiwawa akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa ZSSF mara
baada ya kuwasili katika Hafla ya Utiaji saini Mradi wa Ujenzi Jengo la
Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF
Kariakoo mjini Zanizbar.
Baadhi ya wageni Waalikwa
waliohudhuria katika Hafla ya Utiaji saini Mradi wa Ujenzi Jengo la
Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF
Kariakoo mjini Zanizbar.
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi
Mohamed Ramia Abdiwawa na Viongozi wengine wakishuhudia Utiaji Saini
Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika
katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra
Issa Machano (kushoto)akitiliana saini na Msaidizi Meneja Mkuu wa
Kampuni ya Group Six International ltd Fang Xiaokai Mradi wa Ujenzi
Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa
ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra
Issa Machano (kushoto)akibadilishana hati ya saini na Msaidizi Meneja
Mkuu wa Kampuni ya Group Six International ltd Fang Xiaokai kuhusu Mradi
wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika
Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
Mkurugenzi Mwendeshaji ZSSF Sabra
Issa Machano akitoa hotuba baada ya kutiliana saini na Kampuni ya
Group Six International ltd kuhusu Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge
lililopo Michenzani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo
mjini Zanizbar.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini
ZSSF Dkt,Suleiman Rashid Mohamed akitoa hotuba katika hafla ya Utiaji
Saini Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla
iliofanyika katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.
Waziri wa Fedha na Mipango
Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa akitoa hotuba katika hafla ya Utiaji Saini
Mradi wa Ujenzi Jengo la Kisonge lililopo Michenzani hafla iliofanyika
katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo mjini Zanizbar.kulia ni Mkurugenzi
Mwendeshaji ZSSF Sabra Issa Machano na Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya
Wadhamini ZSSF Dkt,Suleiman Rashid Mohamed
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments :
Post a Comment