Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Sadala alipowasili katika
viwanja vya Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo alipohudhuria
katika Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM
(NEC) Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 23/09/2018.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiendesha Kikao cha siku
moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar
kichofanyika Leo katika ukumbi wa CCM Ofisi Kuu Kisiwandui Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/09/2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein (kulia) akiteta na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Samia Suluhu
Hassan wakati wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri
Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ofisi Kuu
ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/09/2018.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akiendesha Kikao
cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC)
Zanzibar kichofanyika Leo katika ukumbi wa CCM Ofisi Kuu Kisiwandui
Mjini Unguja,(kulia)Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma
Abdalla Sadala na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Samia Suluhu
Hassan (kushoto)[Picha na Ikulu.] 23/09/2018.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Wajumbe wa
Kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC)
Zanzibar kichofanyika Leo katika ukumbi wa CCM Ofisi Kuu Kisiwandui
Mjini Unguja,wakisimama kwa dakika moja kuwakumbuka Wananchi waliofariki
katika ajali ya Meli MV Nyerere huko Mwanza,ilioyotokea tr 20 mwezi
huu, (kushoto)[Picha na Ikulu.] 23/09/2018.
Baadhi ya Viongozi na Wajumbe wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Zanzibar wakimsikiliza Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa
akiendesha kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ofisi
Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 23/09/2018.
No comments :
Post a Comment