Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Kangi Lugola, akizungumza na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji, Thobias Andengenye (kushoto) baada ya kurejea kutoka jijini
Mbeya kwa ziara ya kikazi. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika jijini
Dar es Salaam,walijadiliana mambo mbalimbali yanayolihusu jeshi hilo
Kamishna Jenerali wa Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, akijadiliana mambo mbalimbali
yanayolihusu jeshi hilo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi
Lugola. Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam baada ya Waziri
Lugola kurejea kutoka jijini Mbeya
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Kangi Lugola, akipeana mikono na Kamishna Jenerali wa Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye(kulia), baada ya kurejea kutoka
jijini Mbeya kwa ziara ya kikazi.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments :
Post a Comment