Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi wa Chuo kikuu cha Dodoma
(UDOM), Balozi. Ami Mpungwe (katikati) na Makamu Mkuu wa Chuo hicho,
Prof. Egid Mubofu walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(katikati) akizungumza na Bodi ya wadhamini kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma
walioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi wa Chuo hicho(UDOM), Balozi. Ami
Mpungwe (kushoto kwake) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe kutoka Bodi ya
wadhamini ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) walipomtembelea leo Ofisini
kwake Jijini Dodoma. Wajumbe hao waliongozwa na Mwenyekiti wa Bodi,
Balozi Ami Mpungwe (wa tatu kushoto)
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA – OFISI YA BUNGE)
No comments :
Post a Comment