Muwezeshaji kutoka Wizara ya
Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Bw.Mfaume Hemedi akieleza
faida za mfumo unaotumika kubaini mahitaji ya watumishi katika vituo
vya kutolea huduma za afya(WISN) na ule unaotumika kupanga mgawanyo wa
watumishi hao kulingana na uhitaji wa kila kituo (POA) kwa Waganga wakuu
wa Halmashauri,Maafisa utumishi,Makatibu wa Afya na Maafisa utawala
yalioanza leo Mkoani Iringa.Mifumo hiyo pia inasaidia kutambua uzito na
wingi wa kazi uliopo katika vituo vya huduma na pia kupanga kwa kufuata
vipaumbele vya watumishi katika vituo vya afya na zahanati.
Washiriki wa mafunzo ya mifumo ya
kubaini mahitaji ya watumishi katika vituo vya kutolea huduma za
afya(WISN) na ule unaotumika kupanga mgawanyo wa watumishi hao kulingana
na uhitaji wa kila kituo (POA) wakifualia mafunzo mbalimbali leo mkoani
Iringa.
Muwezeshaji kutoka Wizara ya
Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Bw.Mfaume Hemedi
akionyesha kwa vitendo jinsi Mifumo ya WISN na POA inavyopanga
watumishi wa vituo vya afya na zahanati kulingana na uzito na wingi wa
kazi leo mkoani Iringa.
Washiriki wa mafunzo ya mifumo ya
kubaini mahitaji ya watumishi katika vituo vya kutolea huduma za
afya(WISN) na ule unaotumika kupanga mgawanyo wa watumishi hao kulingana
na uhitaji wa kila kituo (POA) wakifualia mafunzo mbalimbali leo mkoani
Iringa.
No comments :
Post a Comment