Monday, June 11, 2018

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI JIJINI DODOMA LEO


PMO_9610
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Kasheku (Msukuma) Bungeni jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9675
Waziri wa Habari, Sanaa , Utamaduni na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe, akizungumza Bungeni jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9727
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai akitoa maelekezo Bungeni jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9738
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Misungwi Charles Kitwanga, Bungeni jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9797
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bukoba vijijini Jason Rweikiza, nje ya jengo la Bunge jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9826
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na Machifu kutoka Mkoa wa Mbeya, nje ya jengo la Bunge jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9833
Machifu kutoka Mkoa wa Mbeya, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, nje ya jengo la Bunge jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9870
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini kwenye viwanja vya  Bunge jijini Dodoma  Juni 11, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment