Tuesday, June 12, 2018

Matukio Katika Picha Awamu ya Pili ya Mafunzo ya Epicor 10.2 Jijini Mbeya


1
Afisa Usimamizi  Fedha kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Mmaka Mwinjaka akiwasilisha mada kwa washiriki wa awamu ya pili ya mafunzo  ya mfumo wa Epicor 10.2 yanayofanyika jijini Mbeya yakiwashirikisha wahasibu na waweka hazina wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya.
2
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais ,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bi. Rebeca  Kwandu akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Timu ya Mifumo ya TEHAMA kutoka mradi wa PS3 Bw. Desderi Wengaa leo jijini Mbeya wakati wa awamu ya pili ya mafunzo  ya mfumo wa Epicor 10.2 yanayofanyika jijini Mbeya yakiwashirikisha wahasibu na waweka hazina wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya.
3
Sehemu ya Wahasibu na waweka hazina  wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya wakifuatilia    mfumo wa Epicor 10.2 yanayofanyika jijini Mbeya yakiwashirikisha wahasibu na waweka hazina wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya.
4
Msimamizi wa masuala ya Fedha Kutoka mkoa wa Katavi  Bw. Ananias John akizungumza wakati wa mafunzo Wahasibu na waweka hazina  wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya yanayoendelea jijini mbeya ikiwa ni awamu ya pili.
5
Mhadhiri kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Bw. Muhsin Danga akisisitiza jambo wakati wa mafunzo kwa  waweka hazina wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya wakifuatilia mafunzo mfumo wa Epicor 10.2 yanayofanyika jijini Mbeya yakiwashirikisha wahasibu na waweka hazina wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya.
6
Mwezeshaji kutoka Ofisi ya  Rais –TAMISEMI Bi. Asha Msangi akiwasilisha mada kuhusu matumizi ya mfumo wa Epicor 10.2 kwa  waweka hazina wa mikoa ya Njombe,Songwe, Katavi na Mbeya wakifuatilia mfumo wa Epicor 10.2 yanayofanyika jijini Mbeya .
(Picha zote na Frank Mvungi- MAELEZO, Mbeya)

No comments :

Post a Comment