Tuesday, April 17, 2018

MATUKIO YA OFISI YA RAIS TAMISEMI WAKATI WA KUHITIMISHA BAJETI


1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akijibu hoja za Wabunge wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR- TAMISEMI.
2
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Josephat Sinkamba Kandege akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
3
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Joseph George Kakunda  akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI
4
Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Eng Mussa Iyombe(Pili kushoto) akiwa na watumishi wa Wizara wakifuatilia majadiliano ya Bajeti wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
5
Mkurugenzi wa Sera na Mipango OR-TAMISEMI John Cheyo(kushoto) akifuatiwa na Mkurugenzi wa Udhibiti wa huduma za TEHAMA Michael Moshiro wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
6
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.
7
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.

No comments :

Post a Comment