Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akijibu hoja za
Wabunge wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR- TAMISEMI.
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Josephat Sinkamba Kandege akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Naibu Waziri –TAMISEMI Mhe.Joseph George Kakunda akijibu hoja wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI
Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Eng Mussa
Iyombe(Pili kushoto) akiwa na watumishi wa Wizara wakifuatilia
majadiliano ya Bajeti wakati wa kuhitimisha Bajeti ya OR-TAMISEMI.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango
OR-TAMISEMI John Cheyo(kushoto) akifuatiwa na Mkurugenzi wa Udhibiti wa
huduma za TEHAMA Michael Moshiro wakati wa kuhitimisha Bajeti ya
OR-TAMISEMI.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya OR-TAMISEMI wakifuatilia mjadala wa kuhitimisha Bajeti ya TAMISEMI.
No comments :
Post a Comment