Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana wakati akiwasili kuongoza Mkutano wa Halmashauri Kuu
ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21,
2017
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akifungua Mkutano wa Halmashauri Kuu
ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21,
2017
Waliokuwa wanachama wa vyama vya
upinzani wakiwasili ukumbuni kuomba ridhaa ya kurudi CCM wakati wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Profesa
Kitila Mkumbo aliyepata kuwa mwanachama mwandamizi wa chama cha ACT
akiomba na kukubaliwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo
November 21, 2017
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya
Ndani na Mwanachama wa CHADEMA Bw. Lawrence Masha akiomba na kukubaliwa
kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt
John Pombe Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa
(NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa mwanachama mwandamizi wa
ACT Bi. Edna sunga akiomba kurudi na kukaribishwa CCM mbele ya
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na
wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho
jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Bw.
Samson Mwigamba akiomba na kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa Mshauri wa Chama cha
ACT Wakili Albert Msando akiomba na kukaribishwa kurudi CCM mbele ya
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na
wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho
jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) Bw. Patrobas
Katambi akiomba na kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Wanachama sita wa vyma vya
upinzani wakionekana aada ya kukaribishwa kurudi CCM mbele ya
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na
wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho
jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiendesha Mkutano wa Halmashauri Kuu
ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21,
2017
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM
Ndg. Humphrey Polepole akiwapatia mashati wanachama sita wa vyama vya
baada ya kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo
November 21, 2017
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa
CCM Ndg. Humphrey Polepole akipata picha ya kumbukumbu na wanachama sita
wa vyama vya baada ya kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa
CCM Ndg. Humphrey Polepole akiwapatia mashati wanachama sita wa vyama
vya baada ya kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo
November 21, 2017
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa
CCM Ndg. Humphrey Polepole akiongea na wanachama sita wa vyama vya baada
ya kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri
Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21,
2017
PICHA NA IKULU
No comments :
Post a Comment