Saturday, November 18, 2017

DKT. KAYANDABILA: SERIKALI KUENDELEA KUKIJENGEA UWEZO CHUO CHA KODI.


Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 10 ya Chuo cha Usimamizi wa Kodi (ITA), Dkt. Yamungu Kayandabila (kushoto) akiongozwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kicheere kuingia ukumbini kwa ajili ya kuanza kwa hafla ya mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.



 Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 10 ya Chuo cha Usimamizi wa Kodi (ITA), Dkt. Yamungu Kayandabila (kushoto) akiongozwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kicheere kuingia ukumbini kwa ajili ya kuanza kwa hafla ya mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.

Baadhi ya Wanafunzi  wa Chuo cha Usimamizi wa Kodi  (ITA) pichani wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na wageni mbalimbali waliohudhuria mahafahali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 11, 2017.

Baadhi ya Viongozi na Wahadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Kodi wakiongozwa na kikosi cha bendi cha Jeshi la Polisi kuingia katika ukumbi wa Multipurpose katika Chuo hicho wakiwa tayari kuanza mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.

Baadhi ya ndugu na jamaa za wanafunzi waliohitimu katika Chuo cha Usimamizi wa Kodi wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.



Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Huduma kwa Walipa Kodi wa Malamka ya Kodi Tanzania (TRA), (katikati) Richard Kayombo akijadiliana jambo na Maafisa Waandamizi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) wakati wa  mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.

No comments :

Post a Comment