Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea maandamano ya
wananfunzi wa Skuli mbali mbali za Zanzibar katika kilele cha Elimu Bila
malipo kwa Kutimiza miaka 53 katika uwanja wa Gombani Mkoa wa Kusini
Pemba leo,[Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
Wanafunzi wa Skuli za Mkoa wa
Kusini Unguja wakipita kwa maandamano,wakibeba bango linalotioa ujumbe
uanosema “Tushirikiane kupiga Vita Ukatili na Udhalilishaji wa Wanawake
na Watoto ni Jukumu letu Sote”katuika uwanja wa Gombani Wilaya ya
Chakere chake katika Tamasha la Elimu bila malipo kwa kutimiza miaka 53
mwaka 2017. [Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
Wanafunzi wa Laureate Int. School
Pemba wakipita kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
katika Sherehe za Tamasha la Elimu Bila Malipo leo katika Uwanja wa
Gombani Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,ambapo Viongozi wa
Taasisi mabli mbali Serikali walihudhuria, [Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
Baadhi ya Wananchi na Wanafunzi wakiwa
katika sherehe za Elimu Bila malipo zilizofanyika leo katika Uwanja wa
Gombani Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika kilele cha
kutimiza miaka 53 ,sherehe za michezo mbalo mbali zilifanyika kwa
wanafunzi wa Maskuli mbali mbali,[Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
Baadhi ya Wananchi na Wanafunzi wakiwa
katika sherehe za Elimu Bila malipo zilizofanyika leo katika Uwanja wa
Gombani Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika kilele cha
kutimiza miaka 53 ,sherehe za michezo mbalo mbali zilifanyika kwa
wanafunzi wa Maskuli mbali mbali,[Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
Wanafunzi wakiimba wimbo maalum
katika sherehe za Tamasha la Elimu Bila malipo kwa kutimiza miaka 53
katika Uwanja wa Gombani Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba
leo,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pem,be Juma alipokuwa akizungumza na kumkaribisha Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani)ili kuzungumza nha wananchi na Wanafunzi katika sherehe
za Tamasha la Elimu bila Malipo kwa kutimiza miaka 53 katika Uwanja wa
Gombani Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba leo,[Picha na Ikulu.] 23/09/2017.
No comments :
Post a Comment